Skip to content
Ufunuo 11:3-4

Ufunuo 11:3-4

3
Nami nitawapa mashahidi wangu wawili uwezo, nao watoe unabii kwa muda wa siku 1,260, wakiwa wamevaa nguo za gunia.”
4
Hawa ndio ile mizeituni miwili na vile vinara viwili vya taa visimamavyo mbele za Bwana Mungu wa dunia yote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options