Skip to content
Ufunuo 1:17-19

Ufunuo 1:17-19

17
Nilipomwona, nilianguka miguuni pake kama aliyekufa. Ndipo akauweka mkono wake wa kuume juu yangu na kusema: “Usiogope, Mimi ndiye wa Kwanza na wa Mwisho.
18
Mimi ni Yeye Aliye Hai, niliyekuwa nimekufa, na tazama, ni hai milele na milele! Nami ninazo funguo za mauti na kuzimu.
19
“Basi andika mambo uliyoyaona, yaliyopo na yale yatakayotukia baada ya haya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options