Skip to content
Zaburi 95:10-11

Zaburi 95:10-11

10
Kwa miaka arobaini nilikasirikia kizazi kile, nikasema, “Hawa ni taifa ambalo mioyo yao imepotoka, nao hawajazijua njia zangu.”
11
Hivyo nikatangaza kwa kiapo katika hasira yangu, “Kamwe hawataingia rahani mwangu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options