Skip to content
Zaburi 88:5-6

Zaburi 88:5-6

5
Nimetengwa pamoja na wafu, kama waliochinjwa walalao kaburini, ambao huwakumbuki tena, ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
6
Umenitupa katika shimo lenye kina kirefu sana, katika vina vya giza nene.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options