Skip to content
Zaburi 84:4-7

Zaburi 84:4-7

4
Heri wale wanaokaa nyumbani mwako, wanaokusifu wewe daima.
5
Heri wale ambao nguvu zao ziko kwako, na njia ziendazo Sayuni zimo mioyoni mwao.
6
Wanapopita katika Bonde la Baka, hulifanya mahali pa chemchemi, pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.
7
Huendelea toka nguvu hadi nguvu, hadi kila mmoja afikapo mbele za Mungu huko Sayuni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options