Skip to content
Zaburi 78:32-33

Zaburi 78:32-33

32
Licha ya haya yote, waliendelea kutenda dhambi, licha ya maajabu yake, hawakuamini.
33
Kwa hiyo akamaliza siku zao katika ubatili na miaka yao katika vitisho.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options