Skip to content
Zaburi 78:29-31

Zaburi 78:29-31

29
Walikula na kusaza, kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.
30
Kabla hawajamaliza kula walichokitamani, hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
31
hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options