Zaburi 78:29-31
29
Walikula na kusaza, kwa maana alikuwa amewapa kile walichotamani.
30
Kabla hawajamaliza kula walichokitamani, hata kilipokuwa kingali bado vinywani mwao,
31
hasira ya Mungu ikawaka juu yao, akawaua wale waliokuwa na nguvu zaidi miongoni mwao, akiwaangusha vijana wa Israeli.