Skip to content
Zaburi 78:23-25

Zaburi 78:23-25

23
Hata hivyo alitoa amri kwa anga zilizo juu na kufungua milango ya mbingu,
24
akawanyeshea mana ili watu wale; aliwapa nafaka ya mbinguni.
25
Watu walikula mkate wa malaika, akawatumia chakula chote ambacho wangeliweza kula.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options