Skip to content
Zaburi 75:6-7

Zaburi 75:6-7

6
Hakuna yeyote atokaye mashariki wala magharibi au kutoka jangwani awezaye kumkweza mwanadamu.
7
Bali Mungu ndiye ahukumuye: Humshusha huyu na kumkweza mwingine.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options