Skip to content
Zaburi 75:2-5

Zaburi 75:2-5

2
Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.
3
Wakati dunia na watu wake wote inapotetemeka, ni mimi ninayezishikilia nguzo zake imara.
4
Kwa wale wenye majivuno ninasema, ‘Msijisifu tena,’ kwa wale waovu, ‘Msiinue pembe zenu.
5
Msiinue pembe zenu dhidi ya mbingu; msiseme kwa shingo zilizonyooshwa.’ ”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options