Zaburi 75:1-2
1
Kwa mwimbishaji. Mtindo wa “Usiharibu!” Zaburi ya Asafu. Wimbo. Ee Mungu, tunakushukuru, tunakushukuru wewe, kwa kuwa jina lako li karibu; watu husimulia matendo yako ya ajabu.
2
Unasema, “Ninachagua wakati maalum; ni mimi nihukumuye kwa haki.