Skip to content
Zaburi 72:17-19

Zaburi 72:17-19

17
Jina lake na lidumu milele, na lidumu kama jua. Mataifa yote yatabarikiwa kupitia kwake, nao watamwita aliyebarikiwa.
18
Bwana Mungu, Mungu wa Israeli, apewe sifa, yeye ambaye peke yake hutenda mambo ya ajabu.
19
Jina lake tukufu lisifiwe milele, ulimwengu wote ujae utukufu wake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options