Skip to content
Zaburi 69:2-3

Zaburi 69:2-3

2
Ninazama kwenye vilindi vya matope, pasipo mahali pa kukanyaga, Nimefika kwenye maji makuu, mafuriko yamenigharikisha.
3
Nimechoka kwa kuomba msaada, koo langu limekauka. Macho yangu yanafifia, nikimtafuta Mungu wangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options