Zaburi 62:5-7
5
Ee nafsi yangu, upumzike, kwa Mungu peke yake, tumaini langu latoka kwake.
6
Yeye peke yake ndiye mwamba wangu na wokovu wangu; ndiye ngome yangu, sitatikisika.
7
Wokovu wangu na heshima yangu viko kwa Mungu, ndiye mwamba wangu wenye nguvu na kimbilio langu.