Skip to content
Zaburi 59:14-17

Zaburi 59:14-17

14
Hurudi jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
15
Wanatangatanga wakitafuta chakula, wasipotosheka hubweka kama mbwa.
16
Lakini mimi nitaziimba nguvu zako, asubuhi nitaimba juu ya upendo wako; kwa maana wewe ndiwe ngome yangu na kimbilio langu wakati wa shida.
17
Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa. Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu, Mungu unipendaye.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options