Zaburi 59:14-17
14
Hurudi jioni, wakibweka kama mbwa, wakiuzurura mji.
15
Wanatangatanga wakitafuta chakula, wasipotosheka hubweka kama mbwa.
16
Lakini mimi nitaziimba nguvu zako, asubuhi nitaimba juu ya upendo wako; kwa maana wewe ndiwe ngome yangu na kimbilio langu wakati wa shida.
17
Ee uliye Nguvu zangu, ninakuimbia sifa. Wewe, Ee Mungu, ndiwe ngome yangu, Mungu unipendaye.
Settings