Zaburi 55:16-19
16
Lakini ninamwita Mungu, naye Bwana huniokoa.
17
Jioni, asubuhi na adhuhuri ninalia kwa huzuni, naye husikia sauti yangu.
18
Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.
19
Mungu anayemiliki milele, atawasikia na kuwaadhibu, watu ambao hawabadilishi njia zao, wala hawana hofu ya Mungu.
Settings