Skip to content
Zaburi 55:16-18

Zaburi 55:16-18

16
Lakini ninamwita Mungu, naye Bwana huniokoa.
17
Jioni, asubuhi na adhuhuri ninalia kwa huzuni, naye husikia sauti yangu.
18
Huniokoa nikawa salama katika vita vilivyopangwa dhidi yangu, ingawa watu wengi hunipinga.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options