Skip to content
Zaburi 55:12-14

Zaburi 55:12-14

12
Kama aliyenitukana ni adui yangu, ningevumilia, kama mtu mwovu angejiinua dhidi yangu, ningejificha asinione.
13
Kumbe ni wewe, mwenzangu, mshiriki na rafiki yangu wa karibu,
14
ambaye awali tulifurahia ushirika mzuri, tulipokuwa tukienda na umati hekaluni mwa Mungu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options