Skip to content
Zaburi 52:6-7

Zaburi 52:6-7

6
Wenye haki wataona na kuogopa, watamcheka, wakisema,
7
“Huyu ni yule mtu ambaye hakumfanya Mungu kuwa ngome yake, bali alitumainia wingi wa utajiri wake, na akawa hodari kwa kuwaangamiza wengine!”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options