Zaburi 50:3-6
3
Mungu wetu anakuja na hatakaa kimya, moto uteketezao unamtangulia, akiwa amezungukwa na tufani kali.
4
Anaziita mbingu zilizo juu, na nchi, ili aweze kuwahukumu watu wake:
5
“Nikusanyieni watu wangu waliowekwa wakfu, waliofanya agano nami kwa dhabihu.”
6
Nazo mbingu zinatangaza haki yake, kwa maana Mungu mwenyewe ni hakimu.
Settings