Skip to content
Zaburi 37:9-11

Zaburi 37:9-11

9
Kwa maana waovu watakatiliwa mbali, bali wale wanaomtumaini Bwana watairithi nchi.
10
Bado kitambo kidogo, nao waovu hawataonekana, ingawa utawatafuta, hawataonekana.
11
Bali wanyenyekevu watairithi nchi na wafurahie amani tele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options