Skip to content
Zaburi 37:5-7

Zaburi 37:5-7

5
Mkabidhi Bwana njia yako, mtumaini yeye, naye atatenda hili:
6
Yeye atafanya haki yako ingʼae kama mapambazuko, na hukumu ya shauri lako kama jua la adhuhuri.
7
Tulia mbele za Bwana na umngojee kwa uvumilivu; usisumbuke watu wanapofanikiwa katika njia zao, wanapotekeleza mipango yao miovu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options