Skip to content
Zaburi 33:2-4

Zaburi 33:2-4

2
Msifuni Bwana kwa kinubi, mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
3
Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
4
Maana neno la Bwana ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options