Skip to content
Zaburi 33:2-3

Zaburi 33:2-3

2
Msifuni Bwana kwa kinubi, mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
3
Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options