Skip to content
Zaburi 33:1-5

Zaburi 33:1-5

1
Mwimbieni Bwana kwa furaha, enyi wenye haki; kusifu kunawapasa wanyofu wa moyo.
2
Msifuni Bwana kwa kinubi, mwimbieni sifa kwa zeze la nyuzi kumi.
3
Mwimbieni wimbo mpya; pigeni kwa ustadi, na mpaze sauti za shangwe.
4
Maana neno la Bwana ni haki na kweli, ni mwaminifu kwa yote atendayo.
5
Bwana hupenda uadilifu na haki; dunia imejaa upendo wake usiokoma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options