Skip to content
Zaburi 31:14-15

Zaburi 31:14-15

14
Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Bwana; nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.”
15
Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako, uniokoe mikononi mwa adui zangu na wale wanifuatiao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options