Skip to content
Zaburi 31:14-15

Zaburi 31:14-15

14
Lakini mimi ninakutumaini wewe peke yako, Ee Bwana; nimesema, “Wewe ndiwe Mungu wangu.”
15
Siku za maisha yangu ziko mikononi mwako, uniokoe mikononi mwa adui zangu na wale wanifuatiao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 90 chars

Options