Skip to content
Zaburi 24:3-4

Zaburi 24:3-4

3
Nani awezaye kuupanda mlima wa Bwana? Ni nani awezaye kusimama patakatifu pake?
4
Ni yule mwenye mikono safi na moyo mweupe, yule ambaye hakuinulia sanamu nafsi yake au kuapa kwa kitu cha uongo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options