Skip to content
Zaburi 22:16-18

Zaburi 22:16-18

16
Mbwa wamenizunguka, kundi la watu waovu limenizingira, wametoboa mikono yangu na miguu yangu.
17
Naweza kuhesabu mifupa yangu yote, watu wananikodolea macho na kunisimanga.
18
Wanagawana nguo zangu wao kwa wao, na vazi langu wanalipigia kura.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options