Zaburi 148:8-12
8
umeme wa radi na mvua ya mawe, theluji na mawingu, pepo za dhoruba zinazofanya amri zake,
9
ninyi milima na vilima vyote, miti ya matunda na mierezi yote,
10
wanyama wa mwituni na mifugo yote, viumbe vidogo na ndege warukao,
11
wafalme wa dunia na mataifa yote, ninyi wakuu na watawala wote wa dunia,
12
wanaume vijana na wanawali, wazee na watoto.
Settings