Skip to content
Zaburi 147:8-9

Zaburi 147:8-9

8
Yeye huzifunika anga kwa mawingu, huinyeshea ardhi mvua, na kuzifanya nyasi kuota juu ya vilima.
9
Huwapa chakula mifugo na pia makinda ya kunguru yanapolia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options