Skip to content
Zaburi 147:1-3

Zaburi 147:1-3

1
Msifuni Bwana. Tazama jinsi ilivyo vyema kumwimbia Mungu wetu sifa, jinsi inavyopendeza na kustahili kumsifu yeye!
2
Bwana hujenga Yerusalemu, huwakusanya Israeli walio uhamishoni.
3
Anawaponya waliovunjika mioyo na kuvifunga vidonda vyao.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options