Skip to content
Zaburi 144:1-2

Sifa kwa Mungu Shujaa

Zaburi 144:1-2
1
Zaburi ya Daudi. Sifa ni kwa Bwana Mwamba wangu, aifundishaye mikono yangu vita, na vidole vyangu kupigana.
2
Yeye ni Mungu wangu wa upendo na boma langu, ngome yangu na mwokozi wangu, ngao yangu ninayemkimbilia, ambaye huwatiisha mataifa chini yangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options