Skip to content
Zaburi 139:11-12

Zaburi 139:11-12

11
Kama nikisema, “Hakika giza litanificha na nuru inayonizunguka iwe usiku,”
12
hata giza halitakuwa giza kwako, usiku utangʼaa kama mchana, kwa kuwa giza ni kama nuru kwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options