Skip to content
Zaburi 116:12-14

Zaburi 116:12-14

12
Nimrudishie Bwana nini kwa wema wake wote alionitendea?
13
Nitakiinua kikombe cha wokovu na kulitangaza jina la Bwana.
14
Nitazitimiza nadhiri zangu kwa Bwana mbele za watu wake wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options