Skip to content
Zaburi 107:21-22

Zaburi 107:21-22

21
Basi na wamshukuru Bwana kwa upendo wake usiokoma, na kwa matendo yake ya ajabu kwa wanadamu.
22
Na watoe dhabihu za kushukuru, na wasimulie matendo yake kwa nyimbo za furaha.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options