Skip to content
Zaburi 107:19-20

Zaburi 107:19-20

19
Ndipo walipomlilia Bwana katika shida yao, naye akawaokoa kutoka taabu yao.
20
Akalituma neno lake na kuwaponya, akawaokoa kutoka maangamizo yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options