Skip to content
Zaburi 104:1-3

Zaburi 104:1-3

1
Ee nafsi yangu, umhimidi Bwana. Ee Bwana Mungu wangu, wewe ni mkuu sana, umejivika utukufu na enzi.
2
Amejifunika katika nuru kama vile kwa vazi, amezitandaza mbingu kama hema
3
na kuziweka nguzo za orofa yake juu ya maji. Huyafanya mawingu kuwa gari lake, na hupanda kwenye mbawa za upepo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options