Skip to content
Zaburi 103:20-21

Zaburi 103:20-21

20
Mhimidini Bwana, enyi malaika zake, ninyi mlio mashujaa mnaozitii amri zake, ninyi mnaotii neno lake.
21
Mhimidini Bwana, ninyi jeshi lake lote la mbinguni, ninyi watumishi wake mnaofanya mapenzi yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options