Skip to content
Zaburi 103:17-18

Zaburi 103:17-18

17
Lakini kutoka milele hata milele upendo wa Bwana uko kwa wale wamchao, nayo haki yake kwa watoto wa watoto wao:
18
kwa wale walishikao agano lake na kukumbuka kuyatii mausia yake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options