Skip to content
Zaburi 103:14-16

Zaburi 103:14-16

14
kwa kuwa anajua tulivyoumbwa, anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.
15
Kuhusu mwanadamu, siku zake ni kama majani, anachanua kama ua la shambani;
16
upepo huvuma juu yake nalo hutoweka, mahali pake hapalikumbuki tena.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options