Skip to content
Zaburi 103:13-14

Zaburi 103:13-14

13
Kama baba alivyo na huruma kwa watoto wake, ndivyo Bwana anavyowahurumia wale wanaomcha;
14
kwa kuwa anajua tulivyoumbwa, anakumbuka kwamba sisi tu mavumbi.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options