Skip to content
Zaburi 102:13-14

Zaburi 102:13-14

13
Utainuka na kuihurumia Sayuni, kwa maana ni wakati wa kumwonyesha wema; wakati uliokubalika umewadia.
14
Kwa maana mawe yake ni ya thamani kwa watumishi wako, vumbi lake lenyewe hulionea huruma.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options