Skip to content
Zaburi 10:8-9

Zaburi 10:8-9

8
Huvizia karibu na vijiji; kutoka mafichoni huwanasa wasio na hatia, akivizia wapitaji.
9
Huvizia kama simba aliye mawindoni; huvizia kumkamata mnyonge, huwakamata wanyonge na kuwaburuza katika wavu wake.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options