Skip to content
Zaburi 1:2-3

Zaburi 1:2-3

2
Bali huifurahia sheria ya Bwana, naye huitafakari hiyo sheria usiku na mchana.
3
Mtu huyo ni kama mti uliopandwa kando ya vijito vya maji, ambao huzaa matunda kwa majira yake na majani yake hayanyauki. Lolote afanyalo hufanikiwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options