Mithali 5:9-11
9
usije ukatoa nguvu zako nzuri kwa wengine na miaka yako kwa aliye mkatili,
10
wageni wasije wakasherehekea utajiri wako na jitihada yako ikatajirisha nyumba ya mwanaume mwingine.
11
Mwishoni mwa maisha yako utalia kwa uchungu, wakati nyama na mwili wako vimechakaa.