Mithali 16:13-15
13
Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu; humthamini mtu asemaye kweli.
14
Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti, bali mtu mwenye hekima ataituliza.
15
Uso wa mfalme ungʼaapo, inamaanisha uhai; upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli.