Naar de inhoud
Mithali 16:13-15

Mithali 16:13-15

13
Wafalme hufurahia midomo ya uaminifu; humthamini mtu asemaye kweli.
14
Ghadhabu ya mfalme ni mjumbe wa mauti, bali mtu mwenye hekima ataituliza.
15
Uso wa mfalme ungʼaapo, inamaanisha uhai; upendeleo wake ni kama wingu la mvua wakati wa vuli.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options