Skip to content
Mithali 12:5-7

Mithali 12:5-7

5
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
6
Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
7
Watu waovu huondolewa na kutoweka, bali nyumba ya mwenye haki husimama imara.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options