Skip to content
Mithali 12:5-6

Mithali 12:5-6

5
Mipango ya mtu mwadilifu ni ya haki, bali ushauri wa mwovu ni udanganyifu.
6
Maneno ya waovu huotea kumwaga damu, bali maneno ya waadilifu huwaokoa.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options