Mithali 12:12-14
12
Waovu hutamani mateka ya watu wabaya, bali shina la mwenye haki hustawi.
13
Mtu mwovu hunaswa kwa mazungumzo yake ya dhambi, bali mwenye haki huepuka taabu.
14
Kutokana na tunda la midomo yake mtu hujazwa na mambo mema, hakika kama ilivyo kazi ya mikono yake humtunza.