Skip to content
Mithali 1:29-31

Mithali 1:29-31

29
Kwa kuwa walichukia maarifa, wala hawakuchagua kumcha Bwana,
30
kwa kuwa hawakukubali mashauri yangu, na kukataa maonyo yangu,
31
watakula matunda ya njia zao, na watashibishwa matunda ya hila zao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options